Idadi kadha ya antibiotiki zinaweza kutumika kutibu peritonitisi, lakini tumia kila mara angalau antibiotiki 2 kuua aina nyingi zaidi za bakteria. Kutibu peritonitisi, ni bora zaidi kuchoma sindano ya antibiotiki kwa sababu mfumo wa chakula hautaichakata vizuri dawa ambayo inatumiwa kwa njia ya mdomo. Kama njia ya mdomo itatumika, tumia kiasi cha maji ya kutosha tu kumezea vidonge hivyo. Mgonjwa hapaswi kula au kutumia vinywaji zaidi.
Toa dawa hizi hadi mgonjwa atakapofikishwa hospitali:
METRONIDAZO miligramu 500, mara 4 kila siku
NA
SIPRO miligramu 500, mara 2 kila siku AU
SEFTRIAKSONI gramu 2, mara moja kwa siku AU
AMPISILINI gramu 2, mara 4 kila siku NA JENTAMAISINI miligramu 1.5 kwa kila kilo moja ya uzito, mara 3 kila siku.
Tuesday, March 5, 2019
Kutibu kidole tumbo na maambukizi ya ngozi ya fumbatio (Peritonitisi)
Tags
# AFYA CLICK
About afya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
AFYA CLICK
Labels:
AFYA CLICK
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment