Serikali ya Tanzania ipo katika hatua ya kutaka kupitisha sheria itakayowafanya watu wote kuwa katika mfuko wa bima ya Afya. Lengo ni kuondoa changamato zinazowakabili wananchi wengi na hasa wa vijijini. Katika kipindi cha Kinagaubaga Grace Kabogo amezungumza na Bernard Konga ambae ni mkurugenzi mkuu wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya, NHIF.
Monday, October 28, 2019
Bima ya Afya kwa wote Tanzania
About afya
Soratemplates is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment